HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,926
- 6,669
Baba mwenye nyumba!!! We pandisha kodi tu uone hali itakavyo badilikaNa mimi nimekosa wa kunipenda humu JF😳😳😳😳
Dooh!! Life haliko fair
Baba mwenye nyumba!!! We pandisha kodi tu uone hali itakavyo badilikaNa mimi nimekosa wa kunipenda humu JF😳😳😳😳
Dooh!! Life haliko fair
Waambie waje huku.Post nyingine zinakosa wachangiaji kwaajili yenu mmejichimbia huku mmesahau kwingine

WoyooooooooooooAsante my my naona na una cheo kabisa hahahah
Pole sanaNa mimi nimekosa wa kunipenda humu JF😳😳😳😳
Dooh!! Life haliko fair
Oooh!! Samahani sikusoma post zote Hongera nawe kwa ubunifu .
soon baada ya kupigwa chini eti nae keshakua mshauriWewe ndo wakumshauri ivyo!!!! Yameanza lini kuwa mabaya kwako

Kitambo sana.. Vipi wewe au nifanye mamboNgoja nisubiri jibu
Na wewe Je????
Usijali amekuelewa vizuri. Karibu tena Dada yanguOooh!! Samahani sikusoma post zote Hongera nawe kwa ubunifu .
Wameisha.Nahitaji baby asee😡😡😡
Babe unaitajika hukuNahitaji baby asee😡😡😡
Mkuu mimi sijapigwa kibutiWewe ndo wakumshauri ivyo!!!! Yameanza lini kuwa mabaya kwako
njoo home usiku nikiwa nimetoka job...nitakufundisha bure kabisa!
darasa gani la home???Babe unaitajika huku
KweliHii ni chat room haina mwisho mpake tuzeeka .Kapuku wapya wanaingia Jf kila siku
Wakongwe wamejimaliza wenyewe
...............................
Mpenzi Kapuku nimezunguka kutwa nzima sijapata wa kufanana na wewe hivyo nimerudi kwa furaha kwa kuwa wewe ni mpenzi bora maishani mwangu. Hakika sitakuacha nakupenda sana nitazidisha upendo kwako kwa kuwa wewe niliwazo langu. I LOVE U KAPUKUS.
Mkuu umejuaje kama ni dada!!!Usijali amekuelewa vizuri. Karibu tena Dada yangu