Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Penda sana wew

Penda sana wew

Morning dadakeView attachment 358196
Morning family
Cousin mzima? Mbona Leo hujasema kwa hisani ya yeboyebo??View attachment 358232View attachment 358233View attachment 358234
Kutoka katika meza ya magazeti sina la ziada
Nawatakia jumatatu njema na wiki njema

Nenda post ya kwanza kabisa utaona magazeti yameletwa kwa hisani ya nani?Cousin mzima? Mbona Leo hujasema kwa hisani ya yeboyebo??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Still mnajiita wakimataifaNenda post ya kwanza kabisa utaona magazeti yameletwa kwa hisani ya nani?
#TeamWakimataifaaaaa

Halafu hujanijibu salamu yanguNenda post ya kwanza kabisa utaona magazeti yameletwa kwa hisani ya nani?
#TeamWakimataifaaaaa

Sawa cousin lakini poleView attachment 358204View attachment 358205View attachment 358206
Magazeti haya yanaletwa kwenu kwa udhamini mkubwa kabisa wa Dar es salaam Young African
Nilishaachaga stress za mpira kitambo, nikifungwa huwa nashindwa Kula so sitaki preshaaaaAu na wewe ni team yeboyebo![]()
![]()
![]()
Pole Sana tatizo unashabikia man u na yanga hapo BP lazimaNilishaachaga stress za mpira kitambo, nikifungwa huwa nashindwa Kula so sitaki preshaaaa

Hivi simba wako vizuri eeeePole Sana tatizo unashabikia man u na yanga hapo BP lazima![]()
![]()
![]()
![]()
Hujui au?Hivi simba wako vizuri eeee
Mi buheri wa afya sijui wewe?Halafu hujanijibu salamu yangu![]()
![]()