Hahaha kwa siku hizi usipomuona mtu online kwa siku kadhaa inatia shaka sana...Kuna jamaa mmoja yake ilinyakuliwa mawasiliano akiwa katikati ya maongezi nyeti...Akabaki halo...halo...halo..kuchek akakuta no service...Wapi Szczesny jamani au ndo TCRA wamefanya yao??
Hongera kwa 56kWazima Shem....
Khaaaa[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Mkurugenzi wa Ufundi Chura Matopeni Sc
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
Hivi ndoa ya mkeka ina cheti toka lini???Ha hahha unachet cha ndoa umeoa tena....[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Wa kuzugia haukosekani au sio[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Geuka nikukague........ewaaah si haba[emoji1]
Ooh hapo sawaHapana sio mimi.
HahahahahahahaUna uhakika, wakati nilikupiga chini baada ya mtumishi kupenda totoz kali
Aisee huyo walimfanyia mbaya sanaaaaaHahaha kwa siku hizi usipomuona mtu online kwa siku kadhaa inatia shaka sana...Kuna jamaa mmoja yake ilinyakuliwa mawasiliano akiwa katikati ya maongezi nyeti...Akabaki halo...halo...halo..kuchek akakuta no service...
Ilikuwa kichaa sana ikanikumbusha siku ya mwisho ya kunyakuliwa biblia inasema mtakuwa wawili shambani mmoja atanyakuliwa na wewe utaachwa..mtakuwa kitandani mmelala mmoja atanyakuliwa na mmoja ataachwa...Aisee huyo walimfanyia mbaya sanaaaaa
Unatosha sana.Wa kuzugia haukosekani au sio[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unasemaje x wangu nimejaa teleNakutafutaa
Baby.....achana nae HuyoHaya hongera japo moyo wako hutaweza kuniacha ng'ooo!!
Nimefunga goli Leo....Hongera kwa 56k
Hata mapenzi yenu ya kuunga hatari sana, patience ananimiss sana, wacha linamo anifaidiBaby.....achana nae Huyo
I miss u
Nimefunga goli Leo....
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hahaha kwa siku hizi usipomuona mtu online kwa siku kadhaa inatia shaka sana...Kuna jamaa mmoja yake ilinyakuliwa mawasiliano akiwa katikati ya maongezi nyeti...Akabaki halo...halo...halo..kuchek akakuta no service...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wa kuzugia haukosekani au sio[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Haya mkuu....nafurah kukuona na linamo[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Hata mapenzi yenu ya kuunga hatari sana, patience ananimiss sana, wacha linamo anifaidi
Ndoa yetu ikiimarika, nawe umeponaHaya mkuu....nafurah kukuona na linamo[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Nakuombea saana