manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Hahaha kwa siku hizi usipomuona mtu online kwa siku kadhaa inatia shaka sana...Kuna jamaa mmoja yake ilinyakuliwa mawasiliano akiwa katikati ya maongezi nyeti...Akabaki halo...halo...halo..kuchek akakuta no service...Wapi Szczesny jamani au ndo TCRA wamefanya yao??