Hii iko Antalya ,(ambako timu ya yanga ipo now) hii ndo inasadidkika kuwa na bwawa kubwa kuliko hoteli nyingne zozote huko Ulaya, gharama yake ni Euro 1.6 billioni na ilijengwa 2006
Number 1: Emirates Palace, Abu Dhabi
Hii gharama yake ni zaidi ya USD 3 billion, ina conference room zaod ya 40,na material ya kuijengea tuu yalitoka katika nchi zaid ya 40 (pengine na Tanzania ikiwemo)