Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]ok..pamoka sana!! nilipata maombi kwanza
![]()
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]ok..pamoka sana!! nilipata maombi kwanza
![]()
kama Messi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We jamaa ni hatari
mia mia mkuuJaman baadaye kdogo nadhan nipumzike nlitupia ya 50 kasoro 2
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
hamia kwenye mtandao wa WavietnamHaaa pia nme tupia ya 50k+ 1
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lilikuwa ttzo la kmtandao hli
Kwenye 60, ntakuwa nimelieka sawa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nahama huu mtandao uko slow
Mkuu kama ni nyota utakua na nyota kali sana... Hongera kamanda, wengi tulikua tunaivizia hiyo kwa kweli
Nimeona mkuu...pamoja sana!!
Nimebahatisha tu mkuu, any way asante sanaMkuu kama ni nyota utakua na nyota kali sana... Hongera kamanda, wengi tulikua tunaivizia hiyo kwa kweli
Akija mtu kutupia ya [emoji637] [emoji778] [emoji778] [emoji778] [emoji778] [emoji778] nakutoa coz record yako itakuwa ishavunjwaok..pamoka sana!! nilipata maombi kwanza
![]()
Sawa Kabisa hamna shida,,,,Akija mtu kutupia ya [emoji637] [emoji778] [emoji778] [emoji778] [emoji778] [emoji778] nakutoa coz record yako itakuwa ishavunjwa
Ndo utaratibu kuanzia sasa
...........
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jaman baadaye kdogo nadhan nipumzike nlitupia ya 50 kasoro 2
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kutesa kwa zamu hiyo record itakaa miezi miwili km sijakoseaSawa Kabisa hamna shida,,,,
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utakua ulitumia nguvu nyingi sana kuivizia hiyo 50k, bora Th Name ameamua tu kuipotezea mana nlimwambia watakuja wengi wanaojua kuziotea
Sure![emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
Mkamia maji hayanywi
Si mbaya nimepiganaSure!
Ni kweli kaka, asiyekubali kushindwa si mshindaniSi mbaya nimepigana
Ila hata Mussolini5,ni mwana family nafurahi kwa ajili yake pia
Yeah na washindi kabisa kabisa ni siye makapuku woote kwa pamojaNi kweli kaka, asiyekubali kushindwa si mshindani