Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Nimemupakata huyoUtajuaje umri wa wengine humu! Wengine baba zako humu

Nimemupakata huyoUtajuaje umri wa wengine humu! Wengine baba zako humu

JF imeanzishwa 2006Samahani makapuku nataka kujua jf imeanza mwaka gani kwa anae jua na ni nini tofauti y jamii forum ya hapo mwanzo na hii y sasa
Yap....nmekuelewa but one more thing nimeskia zaman ilkua n ngumu kua member wa jf n kweli? If n sio kweli kwann saiv kumekua n classes kwamaana ya makapuku na wakongwe???JF imeanzishwa 2006
Tofauti ni kwamba New version imeboreshwa tofauti na ya zamani mfano matumizi ya Emoji
Kifupi umenielewa
...................
Zamani ilikuwa ngumu kujoin 7bu hapakuwa na smartphone wazee walikuwa wanatumia Computer tena zile za chogo km la MadengeYap....nmekuelewa but one more thing nimeskia zaman ilkua n ngumu kua member wa jf n kweli? If n sio kweli kwann saiv kumekua n classes kwamaana ya makapuku na wakongwe???
Zamani ilikuwa ngumu kujoin 7bu jakukuwa na smartphone wazee walikuwa wanatumia Computer tena zile za chogo km la Madenge
Classes hazikosekani kwenye jamii yoyote mfano kuna Landlords na Tennants......Hapa Jamii Forum kuna tabia ya wakongwe kujiona bora na kudharau members wapya kisa wao walitangulia kuwepo hata km hawana hoja/ubora utawasikia "mtu mwenyewe umejiunga juzi tu"
Kwa ufupi wakongwe wamejaa nyodo
.........

Thanks a lot nmeelewa mpaka basiZamani ilikuwa ngumu kujoin 7bu jakukuwa na smartphone wazee walikuwa wanatumia Computer tena zile za chogo km la Madenge
Classes hazikosekani kwenye jamii yoyote mfano kuna Landlords na Tennants......Hapa Jamii Forum kuna tabia ya wakongwe kujiona bora na kudharau members wapya kisa wao walitangulia kuwepo hata km hawana hoja/ubora utawasikia "mtu mwenyewe umejiunga juzi tu"
Kwa ufupi wakongwe wamejaa nyodo km maembe dodo
.........
Watu wanashangaa eti mwanza kua maskini
ila sina uhakika, sijui wao walitumia vigezo gani?

![]()
![]()
![]()
![]()
Naona hiyo ligi unataka kuihamishia huku.. teh teh teh!
Mikoa masikini Tz ni Geita,Mwanza,Kigoma,Singida na Kagera.
![]()
![]()
ila sina uhakika, sijui wao walitumia vigezo gani?
Ila kwa kuwa ni wataalamu wa mambo hayo bhassss sawaaaa...!![]()
![]()
![]()
Mwanza si ilemela na nyamagana tu![]()
![]()
![]()
![]()
Naona hiyo ligi unataka kuihamishia huku.. teh teh teh!
Mikoa masikini Tz ni Geita,Mwanza,Kigoma,Singida na Kagera.
![]()
![]()
ila sina uhakika, sijui wao walitumia vigezo gani?
Ila kwa kuwa ni wataalamu wa mambo hayo [color/red]bhassss sawaaaa...![/color]![]()
![]()
![]()
Lazima tushangae coz ni jiji halafu kuna ziwa Victoria etc. etc.....Mh!!! bado siaminiWatu wanashangaa eti mwanza kua maskini
Lazima tushangae coz ni jiji halafu kuna ziwa Victoria etc. etc.....Mh!!! bado siamini
Mh!!! Sio kwa hawa watafiti wa Tanzania wanaojifungia Ofisini!!! Hizo takwimu ni za uongo!!!![]()
Chukua mfano huu:
Tz ina rasilimali kuliko Kenya & Uganda lkn tumezidiwa kiuchumi
............
Watu wa Mwanza wabishi sana tutakesha kwa mabishsnoMh!!! Sio kwa hawa watafiti wa Tanzania wanaojifungia Ofisini!!! Hizo takwimu ni za uongo!!!