Makapuku Forum

Dah nimemiss sana kijiwe hadi magazeti sikuweza pitia leo itabidi niende nyuma hadi niyakute...Uko poa lakini dada angu?
Niko poa kabisa,
Basi labda uwahi kabda hawajachat sana maana yatakuwa mbali mno
 
Mi namiliki baiskeli 1 tu na vijiko 6 sufuria 3 ,vikombe 7.stuli _2. Bakuli 3 na raba pea 1
Nategemea vitu vya kukodi na kuazima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
.........
Ongeza sufuria basi manake siku ukipika mboga 7 hazitatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…