Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,182
- 35,323
Kwamba Swahiba wangu alikuwa na Swahiba wake?Muongooo! Ulikuwa bize na swahiba wako ukamsahau swahiba maki.
Nachoka mimi🤔
Kwamba Swahiba wangu alikuwa na Swahiba wake?Muongooo! Ulikuwa bize na swahiba wako ukamsahau swahiba maki.
Shikamoo mkuu!Hahahaha,dah
Ndioooo! Alikuwa bize balaa, hata akasahau kama uko duniani🙆♂️Kwamba Swahiba wangu alikuwa na Swahiba wake?
Nachoka mimi🤔
Jamani nisimsalimie swahiba wangu?We' nini kinakusumbuaga?😅
Hiyo hela yako kula nyama choma Auntie[emoji1787]Muulize kama lipo la afuselasini.
He heWeee Maki hasahauliki kamwe ,labda nife yeye mwenyewe anajua
😁😁😁😁😁Nazidi kuchokaNdioooo! Alikuwa bize balaa, hata akasahau kama uko duniani🙆♂️
Hahahaha, Swahiba unaamini?😁😁😁😁😁Nazidi kuchoka
Auntie acha mazereu basi.Hiyo hela yako kula nyama choma Auntie[emoji1787]
Nimelia sana😭Mzoee tu we mzee ndio alivyo
Naamini Swahiba..Hahahaha, Swahiba unaamini?
Dah, kweli fitina zipoNaamini Swahiba..