Wapendwa wa Makupuku na Wana JF wote.......Salamu...
Kwa moyo wa majonzi na simanzi kubwa nawataarifu juu wa mwenzetu Shunie ambaye amempoteza Baba yake Mzazi...
Msiba umetokea leo saa tatu Jumatano Asubuhi....Taratibu za msiba, mazishi taarifa italetwa hapa..
Kila mmoja kwa namna yake anaweza kumpa pole mwenzetu huyu...
Kuhusu Rambirambi na mengineyo...Itafanyika vile Mtakavyoshauri pia...
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...
Makiwendo
Yaani niko busy nasindwa hata kushiriki vzr kumfariji na hapa ndo narudi dear nitulie kidogo
Weka MMU then tuweke mkeka kule italua vzr pia
Kanitaarifu ila nilishindwa hata kumpigia simu maana
Mungu awe mfariji wake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
It shall be well Love...Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea [emoji120] mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa
Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali [emoji120] sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea
Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe [emoji120] Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi [emoji120]
It shall be well Love...
Mungu wa Mbinguni yeye atoae faraja ambayo hapana Mwanadamu anaweza kutoa....Na azidi kukufariji na kukutia nguvu kila iitwapo leo...
Tunakuombea..
Pole sana Shunie kwa msibaAsanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea [emoji120] mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa
Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali [emoji120] sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea
Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe [emoji120] Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi [emoji120]
Tuko pamoja mdau ShunieAsanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea [emoji120] mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa
Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali [emoji120] sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea
Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe [emoji120] Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi [emoji120]
Auntie Mungu azidi kuwa mfariji wenu, baba amevipigana vita na sasa amepumzika. Tuzidi kumuombea apumzike kwa amani na kumuenzi kwa mema aliyotufunza.Asanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea [emoji120] mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa
Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali [emoji120] sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea
Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe [emoji120] Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi [emoji120]
Tuko pamoja mdau Shunie
Pole sana kwa msiba na faraja ikuangazie wewe na familiy yako. Haijalishi, japokuwa hayupo ila anaishi. Maisha lazima yaendelea.
Shukrani kwa members ambao walituwakilisha kwa hali na mali.
Auntie Mungu azidi kuwa mfariji wenu, baba amevipigana vita na sasa amepumzika. Tuzidi kumuombea apumzike kwa amani na kumuenzi kwa mema aliyotufunza.
pendaeli [emoji120][emoji120] Barikiwa sanaaaa mkuu pale ulipotoa ubarikiwe maradufuAsanteni kwa kila kitu makapuku, Asanteni kwa rambirambi mlizowakilisha kwa auntie makiwendo na kuniletea [emoji120] mbarikiwe sanaa sanaaa pale mlipotoa
Obe
Makiwendo
Sakayo
Atoto mbarikiwe wapenzi sanaaa kwa faraja zenu za hali na mali [emoji120] sina cha kuwalipa Mungu wangu atawalipa kwa yale mliyonitendea
Naombeni mzidi kuniombea tu nilibaki na baba yangu tu sasa hivi nimebaki mwenyewe [emoji120] Mungu azidi kumpumzisha Baba yangu mahali pema peponi [emoji120]
Pole sanaWapendwa wa Makupuku na Wana JF wote.......Salamu...
Kwa moyo wa majonzi na simanzi kubwa nawataarifu juu wa mwenzetu Shunie ambaye amempoteza Baba yake Mzazi...
Msiba umetokea leo saa tatu Jumatano Asubuhi....Taratibu za msiba, mazishi taarifa italetwa hapa..
Kila mmoja kwa namna yake anaweza kumpa pole mwenzetu huyu...
Kuhusu Rambirambi na mengineyo...Itafanyika vile Mtakavyoshauri pia...
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...
Pole sana