makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,015
- 104,614
Kazi mamii, si unajua kazi zetu.. ni muda wa kuenjoy na kufaidi matundaNdio wamekuachia sio?
Kazi mamii, si unajua kazi zetu.. ni muda wa kuenjoy na kufaidi matundaNdio wamekuachia sio?
Wacha we!Nilifichwa Tanga, leo nimepewa simu kwa muda ili nisilimie ndugu na jamaa zangu kisha simu nayo itafichwa tena🤣🤣🤣
Oooh kumbe!!Kuna aina nyingi za kufichwa ila kuna aina fulani we mfichwaji unawaomba waliokuficha wasipate wazo la kukuachia 😄 🤣 😂
Mmmmmmmmmmmmh!Kazi mamii, si unajua kazi zetu.. ni muda wa kuenjoy na kufaidi matunda

Kweli tena auntie
Hujambo mama?
Inanuka au inanukia? 😂🤣Mmmmmmmmmmmmh!
Si bure kuna jambo.He he![]()
😂🤣Oooh kumbe!!
Niko poa kabisa mama. Kikuu yuko wapi?Sijambo auntie za wewe spoi
Aaah auntie, we haya mambo meusi unayashuhudia halafu unakaa tu kimya!! Ukoo utakutenga ujue!Una niniii lakiniii
Acha upashukuna🤣🤣🤣He he![]()
🤣🤣🤣🤣 Unataka kusemaje?Si bure kuna jambo.
Aaah auntie, we haya mambo meusi unayashuhudia halafu unakaa tu kimya!! Ukoo utakutenga ujue!



Sasa me nifanyejeee na ni watu wazima haoooo