Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
🤣🤣🤣🤣🤣 kwendaaaa!Nani huyo?
HahahahahaWewe ni shunie?
Ukihitajika utaitwa....Tulia
![]()
Aahh.. Hata kichuoa kijae vipi, haiwezekani nimuinamishe mtoto wa mtu na joto hili.. Aidha kuwe na kahali kahewa rafiki au kwenye A.CMna moyo sana kwakweli
Amen Mjukuu, nafurahi kuona vile unatusaidia hadi sisi wa huku Vijijini kupata habari![]()


Babu leo nafarijika sana sanaaHuwa napita na kusoma kimya kimya almost kila siku, kuna siku nimepita saa 10 alfajiri nikakuta umepost tayari.... unajitahidi sana kwa kweli
Sio wote wanaweza kufanya hicho unachofanya, na ingekuwa tupo jirani ungekunywa soda kwa bili yangu leo
Very proud of you![]()

babu sio lazima nize jirani mitandao siku hizi imerahisisha kila kitu unaweza tu kunitumia nilipo nikanywa tu babu
asiione auntie yangu Atoto
We mzee ebu nini unacheka eti jamaniiHahahaha
Mkuu una cheka ya kifedha sana, unanikumbusha mwaka 1982 nilipouza ng'ombe zangu na kulipwa shilingi 1,825 nilikuwa nacheka kama wewe ufanyavyo...
Hahahaha...

Auntie nilikumiss bado kidogo tu nikucheck tu whatsaappHatimae ulifufuka![]()
Hii S23 ultra naitamaniii
na ubahili huo hutaweza nunua auntie yangu labda ununuliwe
Kitu gani?

Wewe ni shunie?
Tulia....Ukihitajika utaitwa....
![]()
anataka Samsung ultra23 labda tuchange me na we auntie tumnunulieEbu niambie nini umeona auntie yangu na me nione





Bhana....Mwambie Samsung Ultra24 inatoka soon...anataka Samsung ultra23 labda tuchange me na we auntie tumnunulie
Jamanii auntie si useme sasaBhana....
Nitasema.

Mwambie Samsung Ultra24 inatoka soon...
Tutachanga tumnunulie hiyo Auntie.
kwakweli maana ye mwenyewe hataweza anachoweza ni kujinunua wereva zake tu