Kocha wa Simba, Abdelhak Benchikha ameingia katika orodha ya makocha watatu wanaowania tuzo za CAF 2023 ambazo zitafanyika Jumatatu Desemba 11, mwaka huu.
Benchikha anachuana na Walid Regraui wa timu ya Taifa ya Morocco na Alidu Cisse wa Senegal.
View attachment 2835655