Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Kikosi cha Rivers United ya Nigeria kimeanza safari kuja Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kucheza mechi ya pili robo fainali Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga katika Uwanja wa Mkapa Aprili 30.
Mechi ya kwanza timu hiyo ilifungwa mabao 2-0 yakiwekwa wavuni na Fiston Mayele.
Mechi ya kwanza timu hiyo ilifungwa mabao 2-0 yakiwekwa wavuni na Fiston Mayele.