Shukrani Pendaelli karibu sanaa sanaaaaThank Shunie
Sisi wengine tunakuwa kwenye mizunguko mingi na tunapitwa na baadhi ya habari ambazo hazipewi head line sana ila ni za muhimu sana , bahati nzuri kwenye huu uzi tunakutana nazo zikiwa kamilifu.
Binafsi nashukuru.
Naipata pata kwa mbali 😁Check curl ilivyo tamu haina gharama haina mambo mengi mtu ambaye upo busy ndio inafaa sana mafuta yako tu biashara imeisha steaming unafanyia nyumbani tena ukitaka na kuritach baada ya miezi 3 au minne elfu 30 mpaka 25View attachment 2545837
Zimependeza kama mrembo mwenyewe ulivyo tena wave na curl vitu viwili tofauti usithubutu sasa nataka nikapunguze ziwe fupi kama zako niweke blond niritach tena yaani kama najiona hahhahahaNaipata pata kwa mbali
Mamaa alikuwa akiweza zamani zamani kdg.
Zinapendeza.
Me zangu zina dawa
Curly asilani abadani.. sithubutu
View attachment 2545877
Blonde kibongo bongo wanawekaje?Zimependeza kama mrembo mwenyewe ulivyo tena wave na curl vitu viwili tofauti usithubutu sasa nataka nikapunguze ziwe fupi kama zako niweke blond niritach tena yaani kama najiona hahhahaha
Mtoto Mlito... Umependeza.Check curl ilivyo tamu haina gharama haina mambo mengi mtu ambaye upo busy ndio inafaa sana mafuta yako tu biashara imeisha steaming unafanyia nyumbani tena ukitaka na kuritach baada ya miezi 3 au minne elfu 30 mpaka 25
Pole,Mmh asante sana Genuine si nimefuta jamani si unaona Depal nikiedit inabaki
Wala usijali mpenzi ndio huwa ninachofanya hata ikibaki kwani nini bwana mtu mwenyewe nipo na sura ya baba yanguPole,
Maybe uwe unafuta post nzima,
Hahahaa, eti Sura ya Baba, ,,,,,,,,,Wala usijali mpenzi ndio huwa ninachofanya hata ikibaki kwani nini bwana mtu mwenyewe nipo na sura ya baba yangu
Hahhaha asante rafiki na kwako piaHahahaa, eti Sura ya Baba, ,,,,,,,,,
Haya Rafiki uwe na weekend Nzuri.
Hahaha aliwahi kabla sijafutaMbona kwangu haipo
Au huyo aliona kabla hujafuta
mmh,sio kweliWala usijali mpenzi ndio huwa ninachofanya hata ikibaki kwani nini bwana mtu mwenyewe nipo na sura ya baba yangu
katupiga kamba hapoHahahaa, eti Sura ya Baba, ,,,,,,,,,
Haya Rafiki uwe na weekend Nzuri.
dah,kumbe nimepitwaHahhaha nilikuwa nafuta mara kadhaa imenigomea mpaka nikajaribu na kujaribu ikakubali
Ukweli ni upi we mzee etiimmh,sio kweli
katupiga kamba hapo
Umepitwa sana si umepakimbia hukudah,kumbe nimepitwa