Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,192
- 35,370
Upo Dear...Huo Uzi bado upo?
Sikuhizi nimekua mvivu sana kuzunguka humu
Nadhani ukienda kwenye Chitchat unaupata.
Upo Dear...Huo Uzi bado upo?
Sikuhizi nimekua mvivu sana kuzunguka humu
Wazima kabisa Swahiba...wazima humu.napita na imarisha ulinzi
03:07
Itakavyokuwa Auntie.... Tutajua mbele kwa mbele..Auntie si yatakuwa mamillion uko
Kidogo kidogo.... tutafika....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jambo linaendelea, niko na buku hapa. Mdomdo.
swahiba,ijumaa kareemWazima kabisa Swahiba...
Safi we mzee habari yakomambo vp ,shangazi
Sasa me sijaelewa ndio sh ngapiLaki zimetoka wapi trna we mtoto!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] NimewaachaHebu tuwache.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie kwa mamillion sitawezana nitakuacha na mdogo wakoItakavyokuwa Auntie.... Tutajua mbele kwa mbele..
habari yangu nzuri kbs shangaziSafi we mzee habari yako
Auntie tutauza yale madini ya Shingoni.... Woiiii....[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie kwa mamillion sitawezana nitakuacha na mdogo wako
[emoji1787][emoji1787] Hapana aiseee siuzi sababu ya kubusu twiga nitaendelea kuwaona kwa kina nandy na kajala madini yanauzwa nikiwa na shida haswaaa kimfaacho mtuAuntie tutauza yale madini ya Shingoni.... Woiiii....
Hata Vibubu tutavivunja kabla ya muda....
Nafurahi kusikia hivyo we mzeehabari yangu nzuri kbs shangazi
tupo pamojaNafurahi kusikia hivyo we mzee
Kweli kifaacho mtu chake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapana aiseee siuzi sababu ya kubusu twiga nitaendelea kuwaona kwa kina nandy na kajala madini yanauzwa nikiwa na shida haswaaa kimfaacho mtu
hahahahahaKweli kifaacho mtu chake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie hata Makobe basi...
Auntie utanitumia tu picha ukienda [emoji1787]uko sitawezanaKweli kifaacho mtu chake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie hata Makobe basi...
Auntie kwenye Makobe hakuna Ma millioni[emoji1787]Auntie utanitumia tu picha ukienda [emoji1787]uko sitawezana
Ila kuna malaki si etii auntie yangu we utanitumia tu pic sawa auntie yanguAuntie kwenye Makobe hakuna Ma millioni[emoji1787]