Makapuku Forum

Aloooh kuchangia bajaji tena hapana jamaniiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mweeeeh!!!!

Namna hii si nitafika mbinguni miguu imevimba Auntie[emoji1787]Maana siyo kwa balaa la huyu uncle wako...
....acha woga, ujue kadri aunt yangu anavyonisagia kunguni napata mawazo ya kuachana na bajaji ya kuchangia nitoke zangu Mtwara na bodaboda langu hadi Dar.

Tena nasikia mafuta ni rahisi hapo Dar, nikiweka wakati wa kuja unaweka wakati wa mizunguko, mimi naendesha tu unanionesha mji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…