Aloooh kuchangia bajaji tena hapana jamaniiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...sawa lakini nimebadilika siku hizi, huoni ninajisogeza kwa Maki, sasa akijua kuhusu hilo anko alilokuwa ananisingizia nitaonekana siko makini kabisa.
Mwenzako nimepanga nikija Daslamu niende nikatembee pale kwenye daraja la Tanzanite nikapige picha na nimemwomba Makiwendo achukue mapumziko anipeleke darajani afu tunachangia bajaji inatupeleka Kitambaa cheupe
Hapana auntie muwe wawili tu mchangie bajaji yenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenichekesha Obe....
Darajani ilo usiwaze....nitakupeleka sehemu nyingine na nyingine...
Shunie naye atakuwepo.
Ndio auntie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maki hata hajaona....
Baridi la lindo nalielewa mnooohahahaha,hii baridi ,na wengine leo tuko lindo
Hili baridi siyo poa Mtu chake...hahahaha,hii baridi ,na wengine leo tuko lindo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kazi tunayo AuntieAloooh kuchangia bajaji tena hapana jamaniiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hapana auntie muwe wawili tu mchangie bajaji yenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangu nije huu mji na Magari ya Kampeni[emoji2]....hili Baridi sijawahi kuliona Auntie...Baridi la lindo nalielewa mnooo
hahahahahaha..,karibuBaridi la lindo nalielewa mnooo
hahahahahaha,sasa sie wa lindo lindoni ni balaaHili baridi siyo poa Mtu chake...
.....tukichangia watatu gharama kwa kila mmoja inapungua, na inakuwa ni afueni kwa woteHapana auntie muwe wawili tu mchangie bajaji yenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
...naona uko macho hapaMmelala ?
....acha woga, ujue kadri aunt yangu anavyonisagia kunguni napata mawazo ya kuachana na bajaji ya kuchangia nitoke zangu Mtwara na bodaboda langu hadi Dar.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mweeeeh!!!!
Namna hii si nitafika mbinguni miguu imevimba Auntie[emoji1787]Maana siyo kwa balaa la huyu uncle wako...
...unamwagilia moyo huku umekaa kwenye viti vya mbao utasema mabenchi ya hospital ya serikali. PanavutiaLocation : Msasani
place :Odel beach bar,
HAHAHAHA,Karibu...unamwagilia moyo huku umekaa kwenye viti vya mbao utasema mabenchi ya hospital ya serikali. Panavutia
Eenh upo huko auntieTangu nije huu mji na Magari ya Kampeni[emoji2]....hili Baridi sijawahi kuliona Auntie...
Hapana jamani change nyie wawili binamu.....tukichangia watatu gharama kwa kila mmoja inapungua, na inakuwa ni afueni kwa wote