Makapuku Forum

[emoji23][emoji23]
Mtumie alufu kumi anunue kifurushi...[emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usifanye hivyo...
Nina ndugu zangu hapa watakupa Info.
....kama ndugu zako ndiyo hawa wanaokutana na walevi wanageuza njia, nikiwafuata kuwaomba mawasiliano na wakaniona nimevaa saa ya Citizen si ndiyo watakwambia mimi ni mstaafu . BTW, kweli huwa navaa saa na nyingine nimenunua jana kwa mmachinga linikuta bar akasema kauziwa na mtu aliinunua shoppers, akilini nikajua tu mtu kaibiwa, mara moja moja sio mbaya kuvaa mali ya wizi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyieeeee
 
Yaaaaani...
Kuna hicho kimoja hicho...
Najisemeaga wakishatoa gawio.. najitoa..
Wueh!!! Naweza sasa...
Nipo tu[emoji2]tukigawana naanza tena..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio inavyokuwaga sasa me mwaka huu nimeingia majina mawili ninavyochanganyikiwa Mungu mwenyewe anajua
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba shoppers...

Ndugu yangu humu anayeweza kukupa taarifa zangu sahii ni Shunie na Hadde...
Yule mwingine mwache alivyo.. anapenda sana kunichomea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…