Makapuku Forum

Kweli kabisa ila mwanamke anae jitambua ndio huzingatia uwezo wa mpenzi wake

Wengi wanasema mwanaume sio ndugu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa naanzaje kuwa na shida kumuomba Lee wangu mill 10 si nitakuwa namtafutia sababu tu ya kuachana na mimi

Najua uwezo wake namjua alivyo nikikwama nitamuomba kutokana na uwezo wake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…