Sawa furushi la kudumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ufurushi unaachikaga? Nani alikudanganya? Once you are a furushi always a furushi [emoji16][emoji16][emoji16]
Naenda kukutag[emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anne niacheeee
Sina picha mpya we dadaaa [emoji1787][emoji23][emoji23] halafu kupost picha inaendana na mood niliyokuwa nayo hiyo siku ebu niacheee auntie Makiwendo unamuelewa Anne kweli. [emoji1787]Naenda kukutag[emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096]
Uje
Ameupiga mbovu[emoji16]Polisi Mbeya wanamshiklia Mwanamke aitwaye Riziki Henry (22), Mkazi wa Nditu wilayani Rungwe katika Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za mauji ya Mume wake Ayubu Aron(33) ambaye alimuua kwa kumpiga na kitu butu kichwani kisha kumchoma na kitu chenye ncha kali kisogoni baada ya Mwanamke huyo kuulizwa na Mumewe kwanini karudi nyumbani usiku.
RPC wa Mbeya Ulrich Matei amesema tukio hilo la mauaji lilitokea April 2 katika kijiji cha Nditu ambapo baada ya kupigwa Aron alipelekwa ya Hospitali Wilaya ya Rungwe (Makandana) lakini akafariki siku hiyohiyo.
"Tayari mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya Wilaya ya Rungwe kwa ajili uchunguzi wa kitabibu, Mtuhumiwa alikamatwa na upelelezi wa shauri hilo unaendelea na baada ya kukamilika mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani"
Wakina kalumbu njooni mumuone ndugu yenu hukuView attachment 2176885
Siyo Ujerumani tu bali katika nchi nyingi za Ulaya, Scandinavia na huko Asia.UNAAMBIWA Nchini Ujerumani Wanafunzi hawalipii masomo katika vyuo vikuu vya umma.View attachment 2176902
Mwee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sina picha mpya we dadaaa [emoji1787][emoji23][emoji23] halafu kupost picha inaendana na mood niliyokuwa nayo hiyo siku ebu niacheee auntie Makiwendo unamuelewa Anne kweli. [emoji1787]
Asante msukuma [emoji847]Siyo Ujerumani tu bali katika nchi nyingi za Ulaya, Scandinavia na huko Asia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anne sitaki bwana hizo mambo nafanya makapuku kwangu tuMwee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rudia hata zile za kabati jamani
Jizazi! [emoji24][emoji24]Sawa furushi la kudumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]