Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,168
MENEJA AFUNGUKA ISHU YA SAIDO
.
Meneja wa Yanga Hafidh Saleh amesema timu yao imeshafika Songea baada ya kuondoka Dar na jumla ya wachezaji 24, huku akithibitisha kuwaacha nyota wanne akiwamo Saido.
.
“Nyota wote walioondoka na timu wapo kwenye hali nzuri ya mchezo na wanawaheshimu wapinzani wao wamejiandaa kwa ajili ya kuendeleza mazuri waliyoyafanya katika michezo miwili ya mwanzo,” amesema.
.
“Kuhusu walioachwa wote ni majeruhi isipokuwa Saido aliyeshindwa kufanya mazoezi na wenzake tangu amerudi kutoka kuitumikia timu yake ya taifa, hivyo kocha Nabi hajaona umuhimu wa kuondoka naye kwenda kwenye mechi hiyo ya kesho kwenye Uwanja wa Majimaji.”
………………….
.
Meneja wa Yanga Hafidh Saleh amesema timu yao imeshafika Songea baada ya kuondoka Dar na jumla ya wachezaji 24, huku akithibitisha kuwaacha nyota wanne akiwamo Saido.
.
“Nyota wote walioondoka na timu wapo kwenye hali nzuri ya mchezo na wanawaheshimu wapinzani wao wamejiandaa kwa ajili ya kuendeleza mazuri waliyoyafanya katika michezo miwili ya mwanzo,” amesema.
.
“Kuhusu walioachwa wote ni majeruhi isipokuwa Saido aliyeshindwa kufanya mazoezi na wenzake tangu amerudi kutoka kuitumikia timu yake ya taifa, hivyo kocha Nabi hajaona umuhimu wa kuondoka naye kwenda kwenye mechi hiyo ya kesho kwenye Uwanja wa Majimaji.”
………………….