Makapuku Forum

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukiwa unampa vijembe ex wako juwa bado unampenda sana halafu mwenzako ameshakusahau kabisa hata kwenye mawazo yake haupo

Alisikika mlevi mmoja huko nimecopy na kupaste tu [emoji16]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukiwa unampa vijembe ex wako juwa bado unampenda sana halafu mwenzako ameshakusahau kabisa hata kwenye mawazo yake haupo

Alisikika mlevi mmoja huko nimecopy na kupaste tu [emoji16]
Lunch yako ilikuwa ni nini shunie?
 
Watu mmeshaachana kila mtu na mambo zake mwenzio yupo na mahusiano yake huko wewe kila siku vijembe vya nini jamani kila mtu abalance shobo zake

Ukiona unafanya vyote hivyo bado unampenda cha kukusaidia kunywa kojo umsahau kabisa

Alisika mlevi mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…