Ohooo kumbe ndo hivyo?Je wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalamtoto mlito
Ahsante kwa kukiri na kukubali...Nipo nasubiri uanze halafu leo si jumatatu inawezekana kabisa
Ndio hivyo nini mkuuOhooo kumbe ndo hivyo?
Mbona unanilisha maneno mimi nimekiri na kukubali nini tenaAhsante kwa kukiri na kukubali...
Hiyo kitu inasema kwa mahusiano mengi huvunjika siku ya Jumatano...Mbona unanilisha maneno mimi nimekiri na kukubali nini tena
Usikute nimekubali tu sijui kitu mimiHiyo kitu inasema kwa mahusiano mengi huvunjika siku ya Jumatano...
Nimeomba tujaribu umekubali..
Ushaelewa hapo sasa...
Hahaha kukubali kwako means wewe ni chombo ya...Usikute nimekubali tu sijui kitu mimi
Sema kweli bwana smartHahaha kukubali kwako means wewe ni chombo ya...
Bila kupepesa maneno bibie Shunie...Sema kweli bwana smart