Makapuku Forum

Aka kabeer


Acha tu unitoe tu kitambi ila babe ameshaniambia ananipenda hivyohivyo
eti ye hakioni mapenzi jamani lazima mdanganyane kidogo
 
mwenyewe najiona najijua sina kiuno nyigu nipo na kitambi changu cha chupa za kijani

Ila chupa ya kijani jamani kinaniletea kitambi na kuacha siwezi
Hahaha em watake radhi wenye vitambi shunie

Na kuiacha ndio hauwezi tena, kitu cha baridi unakuta hadi kinatoa ki mvuke vuke cha ubarid
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…