Makapuku Forum

Mimi naona ni kinyume kabisa, nilikuwa nasoma uzi flani mida si mrefu "jinsi gani uligundua umeachwa" mule ndani wanaume wamelalamika sana jinsi walivyochezea vibuti...nyie wanawake sio watu wazuri kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sisi watu wazuri sana sema huwa mnakosea tu jinsi ya kuishi na sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…