Makapuku Forum

Obe njoo unambie kama huyu ni mjomba wangu au hapana

...anko, kwa mujibu wa ramli chonganishi ambayo tu ndo kwanza nimemaliza kuiangalia hapa inaonekana kabisa Nigendako siyo ndugu yetu na ana nia mbaya sana na wewe, matatizo unayopitia ya kugonganisha wanawake kila mara na hujifunzi yeye anayafurahia badala ya kukusaidia.

Sasa tunafanyaje anko? Leo ni furahiday, hapa njoo pa siku ile ila usije na yule mwanamke MC maana anaongea sana alitaka kugombana na teller wako bila sababu za msingi.

Mengine jiandae maana mganga katoa masharti ya kimkakati
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…