Watu wanapendwa bana, wengine mahusiank yetu hata hatujui yako level ipi, sina hata kiwanja
Hogo la jang'ombe limempagaisha mtu!Ndoto yake ilikuwa kunipata alivyonipata si ndio akanipa nikashangaa nadata mazima
Hogo la jang'ombe limempagaisha mtu!View attachment 1573774
Shem wa Taifa ulipo nipo!Niwacheeeeeee babuuuu
Shem wa Taifa ulipo nipo!
Hahahaha, shangazi nasubiri Je wajua ,segment pendwaMambo unayopenda kusikia we mzee unafurahiiii
Shem avatar yangu ya mwanzo inaninyima warembo wa JF!Ila we mtu ni mchonganishi ebu rudisha avatar yako ya mwanzo hii inanifanya nakusahau sahau
Shem avatar yangu ya mwanzo inaninyima warembo wa JF!
Hahahaha, shangazi nasubiri Je wajua ,segment pendwa
Mie napita sioni ukiweka ,niwekee Mimi hana tatizoMzee wake shunie naona uvivu kuweka hakuna watu huku siku hizi
Watu wameenda wapi?Mzee wake shunie naona uvivu kuweka hakuna watu huku siku hizi
Sijui mieWatu wameenda wapi?
Najua wameenda wapi.Penzi kitovu cha uzembe!Sijui mie