Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,444
Heshima yako binamu,salama huko?Maandalizi mazuri ya sikukuu wanajukwaa. Ndugu yenu sijambo na nimemalizana salama na mambo ya wajumbe.
Heshima yako binamu,salama huko?Maandalizi mazuri ya sikukuu wanajukwaa. Ndugu yenu sijambo na nimemalizana salama na mambo ya wajumbe.
[emoji3][emoji3]unajua kujihami... Hayaaa...darling, wajumbe hawa hawa kabisa, wala sio usiowajua
Heshima yako binamu,salama huko?
[emoji3][emoji3]unajua kujihami... Hayaaa
Unalikes na kukaa kimya eti[emoji3][emoji3]asa hunielewi kwanini jamani
Nataka aongee anijibu binamu...vipi kama aki-like mara 2, utaweka au utaacha.
Uko mzima aunt yangu?
[emoji849]tena usinikumbushe.. ntakurukia sasa hivi ohoo....mpenzi wangu nijihami kwani umejua nilichofanya juzi wakati umeenda kwenye maombi?
[emoji3][emoji3]kwahiyo hupendiUnalikes na kukaa kimya eti
Kuna mahali niliona kaweka picha aisee [emoji3]Nataka aongee anijibu binamu
Niko mzima binamu hofu kwako tu
We mtu upo?kikubwaaaa uhai
Njemawapendwaaa habari za kutekanaaaaaa
Mi Niko poa
Mi Niko poa
[emoji849]tena usinikumbushe.. ntakurukia sasa hivi ohoo
Pole mpendwa...bora umekuja. Simu yangu mbovu
...tulia beibe, ninarudi mapema sana kabla hata jua halijakuchwa
Endeleeni tu mi naleas[emoji849]tena usinikumbushe.. ntakurukia sasa hivi ohoo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji3]nakuonaaa na kipoozeo chakoo...tulia beibe, ninarudi mapema sana kabla hata jua halijakuchwa
Hata usiporudi mi fureshi.. [emoji21]...tulia beibe, ninarudi mapema sana kabla hata jua halijakuchwa