Makapuku Forum

We jamaa uko vzuri kwa kweli

Japo uko arsenal, kweli wenger mashabiki kama nyie hawatendei haki
 
Barcelona ulaya ndio klabu inayoongoza kwa kuchukua jumla yote ya makombe mengi huku Arae8 hata top 5 haipo
 
Lililo dhaniwa kuwa bomu pale OT

Ilikuwa ni kifaa cha mazoezi

Skynews wametoa taarifa haoa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: PNC
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Rihanna kapotea hawiki kama zamani nafikiri Brown alikuwa anampaisha saaana ila binafs naupenda ule wimbo wa Sooooory
Rihanna yupo sana, we tu sio mfuatiliaji.
 
Reactions: PNC
Barcelona ulaya ndio klabu inayoongoza kwa kuchukua jumla yote ya makombe mengi huku Arae8 hata top 5 haipo
Yote kivipi?? Ktk msimu mmoja au??
Hiyo yote haiwezi ikuta LA DECIMA, ktk clubs, hamna mafanikio kama hayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…