Makapuku Forum

Mwenyewe huwa hasemi hivi, sijui inakuijia na udhamini mnono, maelezo mengi hadi tunachoka wasomaji...

Hii tumeikataaa, anza upya tena,bila kuanza upya tunajua hii je wajua ni fake tu
Wanakapukus hii Je Wajua ya leo mnaielewa kweli?
Umehamua kuja na je wajua yako?
Twendeleeeee baada ya mapumziko huku nikipata mabusu moto motooo
ya leo ni comedy!
Mjombaa mbona kama mm n wewe sio ukoo mmojaaa...baby shunie kaendaaa jikoniiiii
Hii ni fake aisee
Je wajua hadi ina mapumziko
Angalia je wajua ya mtoto mlito.. Angalia vizuri hiko ki emoj, narudia tena angalia vizuri mjomba..

Hebu anza upya, bila hvyp hatutamini mpo wote

View attachment 1373628
Nacheka sana nyie watu nyie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…