Makapuku Forum

Makapuku Forum

d80a4e1fae51af56291a743bc18f77ca.jpg
 
Ifike wakat viongoz wetu wawe na maaumizi ya kiuchumi na si kisiasa
Raisi wetu awe msikivu kwa watalamu wa uchimi, leo hii tunajipanga foleni kununua sukari ni aibu na dalili mbaya ya uchumi na ustawi wa jamii, maamuzi yoyote anayofanya azingatie ushauri wa kitaaluma husika.
Ni kweli nchi imeoza lakini sio wote,
Akiwa mkali kupitiliza atapata tabu sana kila asemalo wasaidizi wake wataitikia tu bila kumshauri na matokeo yake atafeli sana kupita maraisi wote.
Kilichonishangaza pamoja na ukali wote ni kusikia mashine za ukaguzi jnia hazifanyi kazi!!!!
Maana yake ni tayari hujuma dhidi yake zimeanza ni pamoja na kuficha sukari.
NAMWOMBEA MUNGU AMPE AFYA NJEMA NA HEKIMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom