Makapuku Forum

Makapuku Forum

Miss u darling
We dada kwani umenifollow
Kama apa nimekaa babe nakuwaza wewe tu nakupenda yaani nakupenda kuna mda sijui unanionaje kama sikupendi ila nakupenda mimi
Nakupenda we mwanaume mimi
Mimi ni wako wewe ni wa kwangu sijui uko mbele itakuwaje babe ila juwa nakupenda mimi kibonge wako
Nakupenda wewe tu
Unachekaaa we mzee
Asee ,nani huyu mwenye bahati hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom