Shikamoo binamu,pole na majukumuAnko wangu wa faida na hasara. Upo kabisa hapa mujini au ndo mambo ya kwenda kuchomoa betri kule mpakani
Boss lady ndo ananipa kazi nyingi ila ntafanyaje ndo boss wanguAshukuriwe mtekaji aliekuachia leo
Nipoooo binamu wa hasara na faida ...mama mdogo wakooo anakusalimiaaAnko wangu wa faida na hasara. Upo kabisa hapa mujini au ndo mambo ya kwenda kuchomoa betri kule mpakani
Marhaba dada ake...salama huko?Kaka ningendako shikamoo[emoji120][emoji120]
HahahBoss lady ndo ananipa kazi nyingi ila ntafanyaje ndo boss wangu
Pamoja sana mzee wa poriTupooo
Kapuku mwenzangu,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kapuku mwenzangu,
Mimi binafsi siku hizi majukumu yanabana sana hivyo ni nadra kunikuta sehemu nakomenti huwa msomaji zaidi nikipata muda mara mojamoja
Kuhusu Jimena naye maisha tu yamemkaba muda wa kuingia Jf siku hizi hana ila ni mzima kabisa
Kuhusu Bailly naye nafikiri ni hivyohivyo sababu hata thread ya Mashetani Wekundu siku hizi simuoni kabisa
Sisi kutokuwepo isiwe sababu ya thread kufa, mimi nafurahi kuona kuna makapuku wapya wa kizazi kipya cha Jf wabalisongesha tu jukwaa.....hii ni sawa na kupokesana vijiti
Kwenye maisha mtu ukipata muda wa kufuruhi pamoja na wengine unatakiwa kuutumia vizuri sababu kuna kipindi huo muda huwezi kuupata........
Mpe hongeraBoss lady ndo ananipa kazi nyingi ila ntafanyaje ndo boss wangu
Akafie mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe umekosaa wa kukutekaa baba wawiliii ashampata wa kumteka
Ni salama kabisaMarhaba dada ake...salama huko?
[emoji120][emoji120][emoji113][emoji113]Kapuku mwenzangu,
Mimi binafsi siku hizi majukumu yanabana sana hivyo ni nadra kunikuta sehemu nakomenti huwa msomaji zaidi nikipata muda mara mojamoja
Kuhusu Jimena naye maisha tu yamemkaba muda wa kuingia Jf siku hizi hana ila ni mzima kabisa
Kuhusu Bailly naye nafikiri ni hivyohivyo sababu hata thread ya Mashetani Wekundu siku hizi simuoni kabisa
Sisi kutokuwepo isiwe sababu ya thread kufa, mimi nafurahi kuona kuna makapuku wapya wa kizazi kipya cha Jf wanalisongesha tu jukwaa.....hii ni sawa na kupokesana vijiti
Kwenye maisha mtu ukipata muda wa kufuruhi pamoja na wengine unatakiwa kuutumia vizuri sababu kuna kipindi huo muda huwezi kuupata........
Shemeji umejichimbia wapi siku hizi?Shikamoo binamu,pole na majukumu