Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Nina bahati ya kushinda kila aina ya uraibu ninaopambana nao. Hata JF hapa na mitandaoni huko nikiamua kupumzika napumzika hata mwezi+ nikitaka naweza. Wewe unaweza kukaa siku ngapi bila kuja hapa JF na kwingineko mitandaoni?Hahahhaha msukuma hii umejitetea inakuhusu eeenh
Mm ni jf tu ndio ninaitumia ninaeweza kukaa siku zozote nikijisikia kutoingia sina uraibu huu kwakweli eti naweza kukaa bila kuingia jfNina bahati ya kushinda kila aina ya uraibu ninaopambana nao. Hata JF hapa na mitandaoni huko nikiamua kupumzika napumzika hata mwezi+ nikitaka naweza. Wewe unaweza kukaa siku ngapi bila kuja hapa JF na kwingineko mitandaoni?
Kweli nakwambia sina hivyo vituUnazo. Nina ushahidi [emoji818][emoji818][emoji818][emoji817][emoji817][emoji817]
Tumejiteka aiseeHivi humu watu mmetekwa au mmeibwa
Mama lizy 11 ndio nani binamu yangu
PoleKhaaa [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Mm huyo msukuma mbona msambwanda na mamiguu ya beer mm hizo sifa sina
Habari zenu makapuku
Hahahah nakuona binamu,hizo sifa zote ni kwa ajiri ya kumpata Sepenga pekee...kama mimi nina mahela hadi serikali imeamua kunikopa korosho zangu kwa kuwa wanajua sina shida ndogo ndogo.
Waulize kina Tumosa na binamu ningendako hawa wanajua nina hela na nikaaahidi atakayeniunganishia Wema Sepenga basi ninampa hela ya kununua Toyo mpya, cash bin taslimu
Sawa sawa bro[emoji2][emoji2]Toto kibonge jeupe la Kitanga lenye msambwanda wa kufa mtu na mamiguu ya bia...Wakubwa wanafaudu [emoji870][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Salama shunie?habar za kupotea[emoji2]Khaaa [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Mm huyo msukuma mbona msambwanda na mamiguu ya beer mm hizo sifa sina
Salama binamu?yale mapesa bado tu...salama mdau, hofu kwako!
Na pia saitikia kwa niaba ya ningendako , Tumosa hawa ni ndugu zangu na niliwaahidi bunge la bajeti likiisha nitawatafuta. Sasa bunge limechukua muda mrefu inabidi niwasalimie tu
Nipo salama bro,namshukuru Mungu,mambo yameenda kama yalivyokusudiwa,nmemaliza salama bro[emoji120]Toto kibonge jeupe la Kitanga lenye msambwanda wa kufa mtu na mamiguu ya bia...Wakubwa wanafaudu [emoji870][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji3][emoji3][emoji3]
Habari yako T[emoji3][emoji3][emoji3]
Eeenh umemaliza salama nn eti baba wawili naona watekaji wamewaachiaNipo salama bro,namshukuru Mungu,mambo yameenda kama yalivyokusudiwa,nmemaliza salama bro[emoji120]
Za kupotea mm au ww baba wawili jamani watu mmetekwa humu kila siku nipo peke yangu tu na je wajua yanguSalama shunie?habar za kupotea[emoji2]
Habari zetu nzuri moud sijui wwHabari zenu makapuku
Haya endeleeni kutekwaTumejiteka aisee