Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu ebu weka picha kwanza
Picha ya nini sasa, maana hapa ni msuli wa kende ndo umepatwa na hitilafu, nilienda kucheza takolingi moja matata sana kumbe mwenyewe mimi pancha tupu.
Ndo hivyo sasa, nitakaa nje ya uwanja wa nje kwa wiki hizi✌ halafu nitarudi na kasi mpya.

Picha nitaweka, ngoja nikamtafute cameraman hapo center
 
Picha ya nini sasa, maana hapa ni msuli wa kende ndo umepatwa na hitilafu, nilienda kucheza takolingi moja matata sana kumbe mwenyewe mimi pancha tupu.
Ndo hivyo sasa, nitakaa nje ya uwanja wa nje kwa wiki hizi[emoji111] halafu nitarudi na kasi mpya.

Picha nitaweka, ngoja nikamtafute cameraman hapo center
Ya hizo kende bwana binamu
 
Back
Top Bottom