Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,444
Kwema binamu?...inawezekana aliyekuja na wazo la kikokotozi (calculator) alikuwa na na tabia hii ila akapata ufumbuzi
Kwema binamu?...inawezekana aliyekuja na wazo la kikokotozi (calculator) alikuwa na na tabia hii ila akapata ufumbuzi
Ukidownload ukumbuke kuzisave tu usije ukatuletea kama ya dada ako tumosa leo anatuwekea wengine kesho kutwa anatuletea wengine
Kumbe watu tuna kumbukumbu zote
Kwema binamu?
Mbona nilipo sikuoni mmUlipo wewe [emoji2]
Binamu tatizo sio kukua tatizo mpaka jinsia imebadilika...sasa aunt ulitaka wabaki vile vile jameni, si wanakua kimo na mwili na inabidi wabadili nguo pia. Alishawadownload kitambo sasa wamekua, mimi mwenyewe wamekua hadi wananichanganya akiwaweka humu, hii ni hata kwa watoto wa ndugu na binamu yangu ningendako koko banga
Hahaha binamu mbona unaniponda tena,unang'ata na kupuliza...sasa aunt ulitaka wabaki vile vile jameni, si wanakua kimo na mwili na inabidi wabadili nguo pia. Alishawadownload kitambo sasa wamekua, mimi mwenyewe wamekua hadi wananichanganya akiwaweka humu, hii ni hata kwa watoto wa ndugu na binamu yangu ningendako koko banga
Huku kwema binamu,tunamshukuru Mungu,tunapambana na hali zetu....kwema sana binamu, asante kwa kuuliza, sijui wewe na michakato ya maisha.
Naamini life unalisongesha na ni furaha mara zote kukuona hapa
Koko banga ndio nini shunie??Binamu tatizo sio kukua tatizo mpaka jinsia imebadilika
Eti kokobanga teh teh..
Hahaha aya bhanaMbona nilipo sikuoni mm
Mbona nilipo sikuoni mm
Hahaha kokobanga nyenyenyeee huyo lemutuz baba wawili ndio anajiita hivyoKoko banga ndio nini shunie??
Binamu huyo mwenye maringo ndio nani hapo...@ningendako ni kweli aunt yangu hakuoni au kwa vile wiki la mshahara limeanza basi maringo utasema enzi zile tunauza korosho
![]()
Binamu tatizo sio kukua tatizo mpaka jinsia imebadilika
Eti kokobanga teh teh..
Hahahhaha nachelewa kuituma binamu
Hahaha binamu mbona unaniponda tena,unang'ata na kupuliza
Hahahaha...duh, sasa hapa kwa kweli sina cha kusema, yaani hadi jinsi wamebadilika. Kazi ipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa kweli binamu...@ningendako ni kweli aunt yangu hakuoni au kwa vile wiki la mshahara limeanza basi maringo utasema enzi zile tunauza korosho
![]()
Hahahah aise,sawa binamu,hyo pesa uliyonunulia laptop ndio zile za koroshow....hapana binamu, nimenunua laptop mpya, jamaa aliitumia ndo akaamua kuniuzia kwa bei ya kishkaji, sasa wakati mwingine inajiandikiaga tu mambo yake, nitaifanyia ukarabati, niwie radhi binamu