Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Nakuona unavowaza mialiko kama ulifunga vileEid Mubarak jamani [emoji847]
Sisi eid yetu leo
Nakuona unavowaza mialiko kama ulifunga vileEid Mubarak jamani [emoji847]
Sisi eid yetu leo
Ebu nialike basi we mwanamkeNakuona unavowaza mialiko kama ulifunga vile
Binamu shikamoo....nimekaribisha member wote humu kwenye sikukuu, hivi huu mwaliko ina maana haujawafikia? Mbona mnataka kunifanya misosi niliyoagiza kwa Mangesho ichache jameni?
Binamu shikamoo
Ndio nenda PM...marhaba binamu, sasa kesho ndo kesho. Una jipya mamaJJ?
Shikamoo shangazi Mary,pole na mfungoSalaam wapendwa huku bila shaka hamjambo nyote na familia zenyu [emoji52][emoji52]
Mi nawakaribisha sana nyote tulojaaliwa kuifikia Eid ya mwaka huu tukiwa wazima Eid mubarak nawapenda mimi [emoji173][emoji173]mje kwetu eenh..
View attachment 1117879
Ndio nenda PM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mfyuuuu....huko PM ndo sikukuu ya Eid inasheherekewa! bona mimi najua itakuwa Tanga? Maana mwaka jana ilikuwa mitaa yetu hapa Ntwara
Shikamoo shangazi Mary,pole na mfungo
Nakusalimia[emoji113]....huko PM ndo sikukuu ya Eid inasheherekewa! bona mimi najua itakuwa Tanga? Maana mwaka jana ilikuwa mitaa yetu hapa Ntwara
Nakusalimia[emoji113]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]kwa kweli lazima tufike[emoji23][emoji23]Karibuni sana na nilimwambia ajiandae sk nyingi sana[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji38][emoji38]nimezipokea salam bila kinyongo na asante sana.....salamu nyingi sana kwako pia, Eid Njema, na kama vipi yale mambo yangu ningekuwa nimekamilishiwa basi ningekupa mkono wa eid bila Idd mwenyewe kujua.
Uko pa lakini
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]kwa kweli lazima tufike[emoji23][emoji23]
Karibuni sana na nilimwambia ajiandae sk nyingi sana[emoji38][emoji38][emoji38]