Makapuku Forum

Makapuku Forum

...binamu, unataka kusema umeshatekwa? Nimekumiss sana mimi, hata ningendako akija muulize salamu zangu kwa kina JJ, yaani hawa kama isingekuwa sababu zilizo ndani ya uwezo wangu basi wangefaidi sana, lakini sasa nitafanya nini khali imekaa kama samaki wa kubanikwa, supu nyeusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmekumiss pia binamu umeadimika mno

Watekaji hawapo tunajiteka wenyewe
 
...binamu, unataka kusema umeshatekwa? Nimekumiss sana mimi, hata ningendako akija muulize salamu zangu kwa kina JJ, yaani hawa kama isingekuwa sababu zilizo ndani ya uwezo wangu basi wangefaidi sana, lakini sasa nitafanya nini khali imekaa kama samaki wa kubanikwa, supu nyeusi
Ha ha ha binamu,ndugu zako tumeshachoka kusikia maneno hayo,yale mapesa bado bado binamu

Au ndio yanakufanya ujiteke mwenyew[emoji2][emoji2]

Kwema lakini binamu?
 
Back
Top Bottom