Makapuku Forum

Alifanya mauaji Mengi, Lakini ambayo ni ya Kusisimua Ni Kwanza...alikuwa na Mpenzi wake ambae Aliuliwa na Kikundi cha Wahuni. Pedro aliwasaka Hao Jamaa na Kuua Mmoja mmoja.
.
Baba yake mzazi Unaambiwa alifungwa Jela nae kwa Kumuua Mama yake mzazi na Pedro kwa kutumia Panga ....Jamaa alichofanya Alienda Kumtembelea Gerezani....Alichomfanya ni Kwa kutumia Kisu Alimchoma choma zaidi ya mara 22...Na kisha kumnyofoa Moyo na Kuukata vipande vipande.
.
Kituko Zaidi ni hichi, Wakati anakamatwa Aliwekwa katika gari moja na Jamaa Wawili, Mmoja alikamatwa kwa Ubakaji...Ile wanafika Kituoni, Polisi wanafungua Mlango wa Gari Walikuta Maiti ndani Ya Mbakaji.
.
Hatari zaidi ni Pale alipowageuza Wenzake Vipande vya Mikate zaidi ya 47...Hawa walikuwa ni wafungwa wenzake ambao Inataarifiwa kuwa nao Walikuwa ni Wauaji.
.
Kwa mujibu wa Source niliyosoma inasema kuwa aliachiwa Mwaka 2007...Ila kipindi anakamatwa alisema kuwa Pindi Akitoka Ataendeleza Mission yake kama Kawaida ya Kuua Wauaji wengine.
.
Alizaliwa mwaka 1954....Alifungwa Mwaka 1974...Katoka Jela mwaka 2007.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…