Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hebu amka tupige tiziSio sawa ndio tutoke
Hebu amka tupige tiziSio sawa ndio tutoke
Acha tu jirani,,shangazi anauliza maswali utadhani upo central



Hatujambo mkuuNaamini mmeamka salama
Kaka ake shikamooAcha tu jirani,,shangazi anauliza maswali utadhani upo central![]()
Na kwako pia mkuu
Marhaba dada yangu,kwema huko?familia haijambo?Kaka ake shikamoo
Kwema,tunamshukuru Mungu hatujamboMarhaba dada yangu,kwema huko?familia haijambo?
Happy woman's daysHatujambo mkuu
Nipo hapa reception nakuja ofisini kwakoHaya karibu mno