Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
We mwenyewe hapo ulipo mzee umekomalia we mzee we mzee








Niacheeee na mkomao wangu
We mwenyewe hapo ulipo mzee umekomalia we mzee we mzee








Ndio ndioBaba wawili tukubaliane na hali tu ngoja tumsubirie mary
Hahhahhhah
Vikuku vyako havijamboShikamoo we mzee
Sikuwachi!
Niacheeee na mkomao wangu
Mzima wewe?Shikamoo we mzee
HahhahahaSikuwachi!
Hizo Heineken zitaota huko tumboni....![]()
Mzima mm jamaniii sijui weweMzima wewe?
We una matatizo ya akili sio bure...hahahaaaaaaVinakusalimia![]()
Si ulitaka lakini vikuku vyangu lakiniWe una matatizo ya akili sio bure...hahahaaaaaa
Kwahiyo kutamanishana hivi ndio maana yake nini lakini? Mtu mwenyewe nshajizeekea mvi hadi kwenye vuzi senz zako
Sitaki kupokea nini?Mzima mm jamaniii sijui wewe
Kwa nn hutaki kupokea shemeji yangu
Hahahahaaaaaa
Acha zioteeee
Sitaki kupokea nini?







eti shemeji yangu woiiiii hapa tumekaa na shemeji yangu na ww ndio nimekuita
HahahahaMfyuuuuuuuu
Hahahaaaaa
Shikamoo na wewe kama inashibisha hiyo shikamoo yakoeti shemeji yangu woiiiii hapa tumekaa na shemeji yangu na ww ndio nimekuita
Hutaki kupokea shikamoo we mzee
MuoneHahahaha
Umeridhika sasa eenh
Shikamoo na wewe kama inashibisha hiyo shikamoo yako





