MfyuuuuUko poa mchepuko wangu
Wewe mwenyewe umepata upenyo baada ya kuaga unaenda kanisaniMmetekwa na nani?
Wewe mwenyewe umepata upenyo baada ya kuaga unaenda kanisani
mfyuuuuuuu
Mm ndo nimeingia humu kwan hayupo humu ?Bashite nipe habari za jiwe!Am missing her very much!!
Sio mchepuko bhn,sema Big X wa Binam.
Bila shaka umzima wa afya na bebi wako.?
Sent using Jamii Forums mobile app
ShikamooooooHuamini auu
Ngoja ntoke ibadan![]()
![]()
![]()
![]()
mfyuuuuuuu
Mkuu kwema ?Ngoja ntoke ibadan
Mzima kabisaa napataa nachotakaa kwa wakat
Shangazi kwema??Kapuku salam zenu toka kwangu mi nawapenda sana.
Muwe na Jumapili njema yenye baraka
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteeeShikamooo
Mawodi yote nimezungukia sikuoni akiHuamini auu