Nishazoea mie humu ndio nyumbani kwangu hapa yenyewe nina mastress fullHaha...ushazoea mwenyewe kuingia hukuu!!!yaani hongera dear!humu hakuna stress
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio utajitahidi ndio uweze mahela utayasikia kwenye bomba
Toto angu Behaviourist na wewe umetekwa eeenh nimekumiss tu mm shangazi yako
Hayo ndio maneno sasa ya mwanamkehaha ntapambana hadi nihakikishe nayamiliki mimi lakini sigawi humu kapuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Msalimie jamani nimemmiss mm
Tupoooooo kwahiyo ndio kakurudisha eenhHumu mpoooo
Kwa hisani ya Pogboom