Asante sana ngabu hahhahahaKusema ukweli wala siamini chochote na wala sijui chochote.
Nalichukulia suala zima kiutani tu.
Mimi siyo mtu wa kujifanya najua nisivyovijua.
Ni utani tu huu Shualina. Usiujali sana.
Ila nauacha sasa. Usije kuwaletea matatizo huko mbeleni.
Mm sitaki tena jamani
Daah[emoji23][emoji23][emoji23]aisee nimekua sioni wala siskii notification kisa Mr Faraji.
Kusema ukweli wala siamini chochote na wala sijui chochote.
Nalichukulia suala zima kiutani tu.
Mimi siyo mtu wa kujifanya najua nisivyovijua.
Ni utani tu huu Shualina. Usiujali sana.
Ila nauacha sasa. Usije kuwaletea matatizo huko mbeleni.
Ndio maisha hakuna namnaDaah
Faraji anasikitisha mnooo jamanii
Mjomba nakuamkia [emoji4]Hahahaha, asee
Na ile nyingine umeshamaliza episode zoteSs nahamishia kitanda na jiko Makapuku [emoji85][emoji85]
Kulewa asubuhi hiiiYameisha kaka.
Ngoja nikalewe sasa.
Kulewa asubuhi hiii
Ile bhn episode moja unasoma mpk unasahau mwanzo wake.ndefu sn nimeiacha kwanza.Na ile nyingine umeshamaliza episode zote
Kwani uko wapi USA baby au kwa jiji la bashiteNa kweli!
Hata saa tatu na nusu haijafika.
Ngoja nikanywe kwanza supu halafu nitafute linapopikwa biryani nile nishibe halafu ndo niende nikalewe.
Niliyokudumbukizia asubuhi si ndio mpya jamani ya darfur fupi sana iko na episode 30 hiyo ndefu sana ni ipii hiyoIle bhn episode moja unasoma mpk unasahau mwanzo wake.ndefu sn nimeiacha kwanza.
Jana nilianza Niliyoyaona Dafuur na hii mpya ulonidumbukiza asubuhi [emoji38][emoji38]
Eti nimeisahau [emoji46]alieipost mpk 8 thn kauchuna kimyaNiliyokudumbukizia asubuhi si ndio mpya jamani ya darfur fupi sana iko na episode 30 hiyo ndefu sana ni ipii hiyo