EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Ndo maana ulinitolea nje!Mi nataka kuwa peke yangu tu
Ndo maana ulinitolea nje!Mi nataka kuwa peke yangu tu
Sio kwangu.Si ruksa kuwa na wake wawili...... Haa haaa
kweli mkuu ninacho humo ndani kuna JORAM na NEEMA IDDAah acha maskhara wewe
Shem wewe una mambo!
Mlipanga maisha yakajaa ngazi ngapi vile?
kama kumi hiviHii ni lunch mkuu,tunakula kwa afyaMkuu! Hiyo ni lunch ama breakfast?
embu nitake radhi.Kachambe ulale
Hahaha,mkuu wewe si tayar una mke.
HatoshekiHahaha,mkuu wewe si tayar una mke.
namwambia asikupe mpaka uje kwanguChangu kipo tayari, nasubiriwa nifike tu ili niweze kukabidhiwa
Piga chini huyo.Hatosheki
naona mpaka sasa umekwishapata like 200 kutoka Team Makapuku
duh unakampeni mbayaPiga chini huyo.
naona mpaka sasa umekwishapata like 200 kutoka Team Makapuku