Makapuku Forum

Huyu mzee unayemuona alivamia benki moja na bastola, akaiba dola 1 ambayo ni sawa na 2200 tu.

Alipofanikiwa, hapohapo benki akakaa chini na kuwasubiri polisi wamkamate.
Alipohojiwa sababu akasema yeye ni mgonjwa, hapati huduma ya afya na anaishi mitaani ila akipelekwa gerezani basi huduma zote atazipata bure.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…