@transcend alikuwepo jukwaani hapo jana kwani hukumuona [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] au umeanza umbea na ww...hajambo sana, na wikend ya mshahara hii basi sio furaha kila ukimwangalia.
Uko vizuri lakini wikend hii, Transcend umeona humu jukwaani?
Binamu hiyo salamu ni ya weekend coz wkend hazitakiwi salamu ngumu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii salaam nimeipenda,na mimi nataka![emoji19][emoji19][emoji19]
Umetafuta sehemu gani na ni vyumba gani hvoKapuku nimekuja Mbeya nimetafuta vyumba vya sh.50000 sipati...
[emoji23][emoji23][emoji23]Binamu hiyo salamu ni ya weekend coz wkend hazitakiwi salamu ngumu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hi[emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji8] binamu Behaviourist
[emoji23] [emoji23] hivi ni kwamba nilizidiwa sn na usingizi mpk kushindwa kuona hili swali,?[emoji47] mkuu sina vyura walikufa kwa ukame [emoji6] [emoji6]Nipo hapa wikend ndo imeanza, marybaby eti ni kweli una chura? Mimi nafuga nyoka nataka tuwagombanishe
Binamu ukafurahia vita ya Chura na nyoka,? Kicheko chako nna shaka nacho[emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anko tunatafutana ugomvi..mimekuwajee tena ukanitumia mateka wako?....ha hahahah, mambo ya wikend yanaishia wikend ukiyaleta j3 unakuwa unatafuta ugomvi. kwa mfano, anko wangu Lyon Lee (unamjua?) yeye wikend hakuna siku anayobaki salama. Akija muulize mgombane
@obe anko mkubwa lakin mtagombanaShikamoo wakubwa
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113]
Hi m baby ....Binamu ukafurahia vita ya Chura na nyoka,? Kicheko chako nna shaka nacho[emoji85]
Nenda soweto utapataKapuku nimekuja Mbeya nimetafuta vyumba vya sh.50000 sipati...
Hi Anko[emoji113]Hi m baby ....
Mkuu kwema ?Nenda soweto utapata