Hahahaha nmerudi sasa,,,Ester inabd ujipange sasaYaani mie huyu huyu Esther ,mpole mpole nisie na maneno na mtu unanisingizia hivyoooo sauwa tu bora aliekupoteza angekuongezea siku zaidi hahahahaah
Mambo vp mkuuShikamooo kaka ningendako nilikumiss mm we hujui tu
Hahahaha, karibu Sana, nilijua we MTU wa huko bucket kwa sana
Hahaa! We jamaa sijui utapeli umeanza lini! Ndo maana nikasema hapo kabla kwamba, kuanzia sasa sikuamini hata punje:
Muda mfupi baadaeMkuu Wick, tafadhali njoo utuondolee huyu mtu wako umpeleke huko jukwaa la inteneshino au akajadili makinikia manake hili jukwaa limejaa tusichana tudogotudogo kama akina Demiss na binamu yangu Shunie!
Ni ngumu kwao kugundua hawa matapeli... unashitukia tu manyoya yapo jalalani!
Yale ni masikhara bwana, mimi sijawahi kuwa na bebi humu mtandaoni na wala siji kuwa naye!
Marahaba Shunie
Hahahaha nmerudi sasa,,,Ester inabd ujipange sasa
Hahhahaha sasa kaka chige mbona hapo sijaongea kwa mapozi hivi nikiongea kwa madeko yangu si utakufa jamaniMi mbona niliiona ile post dada Shunie... ndo maana nikasema simwamini tena huyu jamaa! Sema dada Shunie na wewe unapoongea na mimi usiwe unaongea kwa mapozi namna hiyo bhana! Unanipa mtihani ujue wakati unajua kabisa wewe ni binamu yangu!
Hahahaha hapana,,,tulitoa bil moja,,,now wameniachia moja kwa mojaKheeee ninge watekaji naona wamekuachia jamani kwahiyo wanakuteka tena au
Hahahaha hapana,,,tulitoa bil moja,,,now wameniachia moja kwa moja
Hahahaha acha kuntamansha shunie,,,honeymoon kabsaa dahJamani tumekumiss mnoooo au ulikuwa honeymoon ninge jamani
Mkuu Lee mambo vipiKapuku wote nawasalimia