Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: Obe
Aisee mulize binamu yako shunie atakueleza kama sikufanya mtihani wa darasa la NNE.

...acha maneno mengi, tuwekee cheti hapa kuwa ulifanya mtihani wa darasa la nne (Standard four)
 
Darasa LA nne kumbe wanatoa cheti?ngoja niende shule nikakichukue then nitaleta mrejesho.

...ha hahahahhaa, ukikipata na mimi nitaenda nikakifuate changu maana somo la Sayansi Kimu ndo nilikuwa nalipenda nilifundishwa na wale walimu wasichawasichana wanaokuja kufanya mafunzo (BTP) na mimi nilianza shule mkubwa tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…