1) Je Sané atamkosoa Löw ?
Joachim Löw amewaongeza wachezaji wa tatu kwenye kikosi chake.
Wachezaji hao ni pamoja na Mchezaji wa Bayer Leverkusen Kai Havertz, wa Hoffenheim Nico Schulz na kinda wa PSG Thilo Kehrer.
Ujerumani wakitolewa raundi ya kwanza kwenye makundi ya kombe la dunia tokea mwaka1938. Löw ameamua kurudia matapishi yake kwa kumrudisha kikosini Leroy Sané.
Hii ni nafasi yake ya kuonesha kuwa alistahiki kuwamo kikosini wakati wa fainali za kombe la dunia nchini Russia. Ujerumani wapo kundi A la Ligi namba1 ya michuano na UEFA national league.